Kutokana na utafiti mdogo iliofanywa
imegundulika kuwa wakulima wengi wanauza mazao yao kwa bei ya chini hasahasa
katika msimu wa mavuno kutokana na kutofahamu lilipo soko bora na lenye faida la
mazao yao
Shamban solutions kwa kushirikiana
na kampuni kadhaa za simu tupo katika kuandaa mfumo utakaowawezesha wakulima na
wadau mbalimbali wa kilimo kufahamu bei za mazao katika masoko mbalimbali hapa
nchini(bei muafaka kwa wakati muafaka)
ZAO
|
TAREHE
|
KUNUNUA/kilo
|
KUUZA/kilo
|
Mahindi
|
Leo (tarehe ya keo)
|
||
Jana(tarehe ya jana)
|
|||
Mbaazi
|
Leo
|
||
Jana
|
|||
Mchele
|
|||
|
|

0 comments:
Post a Comment